mnim

  • Home
  • Pages
  • Shortcodes
  • About me
  • Download This Template

EDEN HAZARD; Mourinho amenihimarisha!

mbantu   Soka   00:16   0 Comments

Kiungo mshambuliaji wa timu ya chelsea na timu ya ubeligiji amemsifia kocha wake wa timu ya klabu Jose Mourinho kwa kuihimarisha chelsea kimtazamo na yeye mwenyewe,

Msimu uliopita chelsea iliweza kuwa chini ya kocha huyo mreno na kuhimarishwa vyema katika ligi hiyo uingereza, japokuwa katikati kulikuwa na kutokuelewana kimtazamo wa mafunzo ya mchezo kati ya kocha huyo na hazard lakini tofauti ziliisha tu mara baaada ya kufikia katika hali ya mafanikio ambapo katika msimu huu chelsea imeweza kuongoza ligi katika kipindi kirefu,

Mbali na hayo Eden Hazard alisema haya;

``Ni kweli kuna mahusiano mazuri baina yetu, kitu kizuri kwake ni kimoja, anaruhusu mchezaji kutumia uwezo wake mwenyewe, hawi upande wangu muda wote, ninakubaliana na yeye kwa kuwa muda wote yeye anaelekeza tu kitu cha kufanya,

Mbali na hayo Chelsea imeweza kuwa na unafuu katika timu za uingereza katika michuano ya mabingwa ulaya UEFA, na wiki ya karibun itakipiga na timu ya PSG katika uwanja wake wa nyumbani.

Soka

Author Info

mbantu

Dicat ludus erroribus has ea, corpora oportere vel ne. Accusam intellegebat delicatissimi eos et, sed eirmod atomorum hendrerit id, graeco putant labitur nec et. Populo epicurei natum placerat in.

Related Posts

Hakuna maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani

Copyright © mnim