mnim

  • Home
  • Pages
  • Shortcodes
  • About me
  • Download This Template

FALCAO AHAIDI MASHABIKI WA CHELSEA HAYA KATIKA MECHI ZIJAZO

mbantu   Wachezaji   02:26   0 Comments

Mshambuliaji wa mkopo wa timu ya Chelsea Radmel Falcao ahaidi kufanya vizuri katika mechi za Chelsea zijazo licha ya kutofanya vizuri katika mchezo uliopita zidi ya Southapmton.

Falcao ambaye alikuwa mchezaji wa Atletico Madrid yupo katika kipindi kigumu mara baada ya kiwango chake kushuka alipoumia katika klabu yake ya Monaco.

Licha ya mchezaji huyo kutopata nafasi za kutosha kuanza katika klabu hiyo toka aliponunuliwa hapo kwa mkopo ana matumaini kabisa ya kurudi kiwango katika mechi zijazo.

Wachezaji

Author Info

mbantu

Dicat ludus erroribus has ea, corpora oportere vel ne. Accusam intellegebat delicatissimi eos et, sed eirmod atomorum hendrerit id, graeco putant labitur nec et. Populo epicurei natum placerat in.

Related Posts

Hakuna maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani

Copyright © mnim