mnim

  • Home
  • Pages
  • Shortcodes
  • About me
  • Download This Template

MOURINHO AZIMA KABISA UVUMI ULIOENEA KWENYE MITANDAO DHIDI YAKE NA WACHEZAJI WAKE

mbantu   Soka   03:16   0 Comments

Kocha mkuu wa timu ya timu wa Chelsea Jose Mourinho ajibu uvumi ulliokuwa unaenea mtandaoni kuhusu kutoelewana kwake na wachezaji wake akiwemo Terry.

Katika ukurasa wake Mourinho akana kabisa uvumi huo na amesema ya kuwa kuna mahusiano mazuri tu kati yake na wachezaji, na pia katika maelezo yake na waandishi wa habari wa moja ya jarida la michezo alisema ya kuwa anawataka wachezaji wake kutokubali kuizika kabisa timu yao katika matokeo zidi yao southampton 

Pia katika hilo Mourinho amekiri kabixa ya kuwa huu ndio msimu wake mbaya sana katika historia yake ya mpira mara baada ya kuchechemea katika ligi ya mabingwa wa Ulaya halikadharika na ligi kuu ya Uingereza kwa kuwa nafasi mbaya 

Soka

Author Info

mbantu

Dicat ludus erroribus has ea, corpora oportere vel ne. Accusam intellegebat delicatissimi eos et, sed eirmod atomorum hendrerit id, graeco putant labitur nec et. Populo epicurei natum placerat in.

Related Posts

Hakuna maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani

Copyright © mnim