mnim

  • Home
  • Pages
  • Shortcodes
  • About me
  • Download This Template

JOSE MOURINHO AFUNGUKA KUHUSU SABABU ITAKAYOMFANYA AONDOKE CHELSEA

mbantu   Mourinho   21:41   0 Comments

Kocha mkuu wa Chelsea Jose Mourinho afunguka mazito kuhusu kitu kitachomfanya aondoke Chelsea katika kipindi hiki.

Akiongea na waandishi wa habari jana Uingereza kocha huyo alisema ya kuwa ikiwa wachezaji wake watamchukia na kutomtaka basi hataona sababu ya kuendelea kuwepo katika klabu hiyo na hivyo hatajiuzuru ukocha.

Kabla ya maneno hayo Mourinho pia aliuonya uongoza wa timu hiyo ya kuwa utafanya makosa makubwa sana ikiwa kama itafukuza kazi yeye kwa maana anaamini ya kuwa hakuna kocha bora katika klabu hiyo kama yeye na haitakuja tena kumpata.

Maneno hayo yamesemwa mara baada ya timu ya chelsea kuwa katika headline za magazet mengi na vituo vingi vya duniani mara baada ya kuwa katika kiwango kibaya sana huku wakifungwa kila kukicha.

Japokuwa Chelsea ipo katika wakati mgumu kama huu mashabiki wake wengi wamekuwa wakisusia mechi katika mechi zilizopita kutokana na matokeo mabovu ila hawajaonyesha dalili yeyote ya kuchoshwa na kocha huyo.

Mourinho

Author Info

mbantu

Dicat ludus erroribus has ea, corpora oportere vel ne. Accusam intellegebat delicatissimi eos et, sed eirmod atomorum hendrerit id, graeco putant labitur nec et. Populo epicurei natum placerat in.

Related Posts

Hakuna maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani

Copyright © mnim