mnim

  • Home
  • Pages
  • Shortcodes
  • About me
  • Download This Template

MOURINHO AIBUKA NA HILI KATIKA ULIMWENGU WA MICHEZO SIKU CHACHE BAADA YA KUFUKUZWA CHELSEA

mbantu   kocha   05:35   0 Comments

Aliyekuwa kocha wa Chelsea Jose Mourinho aibuka katika media leo hii akifafanua maisha yake mapya bmara baada ya kufukuzwa katika klabu ya Chelsea.

Kumekuwa na tetesi nyingi katika magazeti mengi duniani ya michezo kuhusu Mourinho ambapo mengi yalielezea ya kuwa huenda kocha huyo atapumzika kidogo katika soka ili kuweza kujipanga upya katika fani yake kitu ambacho sicho. Leo hii Mourinho amedhihirisha ya kuwa anapenda kuendelea na Soka na hivyo hatachukua mapumziko huku akionekana kupenda kuendelea kufundisha Uingereza na sio nje ya hapo kama jinsi ilivyoelezwa na baadhi ya magazeti.

kocha

Author Info

mbantu

Dicat ludus erroribus has ea, corpora oportere vel ne. Accusam intellegebat delicatissimi eos et, sed eirmod atomorum hendrerit id, graeco putant labitur nec et. Populo epicurei natum placerat in.

Related Posts

Hakuna maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani

Copyright © mnim