PELLEGRINI AMHOFIA GUARDIOLA JUU YA KIBARUA CHAKE
Kocha mkuu wa Manchester City Pellegrini amekuwa katika wasiswasi mkubwa mara baada ya Manchester City kujaribu kuweka mazungumzo na kocha wa Buyern Munichen kuifundisha timu hiyo.
Katika maelezo yake kocha huyo muda sio mrefu akiongea na waandishi wa habari asema ya kuwa ana Guardiola ndiye kocha atakayeifundisha timu hiyo muda sio mrefu katika kipindi kijacho huku akimtakia mema katika kazi yake ya ukocha na pili akitambua ya kuwa kocha huyo ni moja ya makocha wenye uwezo mkubwa katika ulimwengu wa kandanda

