mnim

  • Home
  • Pages
  • Shortcodes
  • About me
  • Download This Template

PELLEGRINI AMHOFIA GUARDIOLA JUU YA KIBARUA CHAKE

mbantu   kocha   01:02   0 Comments


Kocha mkuu wa Manchester City Pellegrini amekuwa katika wasiswasi mkubwa mara baada ya Manchester City kujaribu kuweka mazungumzo na kocha wa Buyern Munichen kuifundisha timu hiyo.

Katika maelezo yake kocha huyo muda sio mrefu akiongea na waandishi wa habari asema ya kuwa ana Guardiola ndiye kocha atakayeifundisha timu hiyo muda sio mrefu katika kipindi kijacho huku akimtakia mema katika kazi yake ya ukocha na pili akitambua ya kuwa kocha huyo ni moja ya makocha wenye uwezo mkubwa katika ulimwengu wa kandanda

kocha

Author Info

mbantu

Dicat ludus erroribus has ea, corpora oportere vel ne. Accusam intellegebat delicatissimi eos et, sed eirmod atomorum hendrerit id, graeco putant labitur nec et. Populo epicurei natum placerat in.

Related Posts

Hakuna maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani

Copyright © mnim