Spanish Laliga; Lionel Messi kumfikia Christiano Ronaldo katika rank ya magori
Messi ameweza leo kuifungia timu yake ya Barca magori 3 zidi ya Rayo vallecano katika dakika ya 56,63 na 68.
Pia katika mchezo huo Barca iliweza pia kupachika magori mengine kupitia Luiz Suarez dakika ya 5 na 90, na Gerrad Pique katika dakika ya 49. Na kuifanya iongoze gori 6-1 zidi ya Rayo
Ushindi huo umekuwa ni furaha katika klabu na kuifanya iweze kuongoza ligi hiyo kwa pointi 62, point 1 mbele zidi ya R. Madrid